KUNENA KWA LUGHA

on Aug 5, 2012

Karibu ndugu msomaji ulietembelea Blogu hii, leo ningependa utambue zawadi kuu aliyokupatia mweyezi Mungu ambayo ni uhai ulionao, wengi wangependa sana kufika siku ya leo lakini hawakuweza. Sasa basi ni vyema tukatambua kuwa pamoja na kazi ngumu ya kutafuta liziki ya kila siku pia tusisahau kuutafuta ufalme wake baba MUNGU aliye mkuu. Katika dunia hii utaona ama pengine kusikia watu wakisema “KUNENA KWA LUGHA” Hebu tujiulize maswali yafuatayo huku tukiangalia maadiko yanasemaje juu ya hayo:-
1)Siki ya pentekoste neno gani lililotukia kwa mitume wa kanisa la kwanza? “kukaja ghafla toka mbinguni uvumi kama uvumi wa upepo wa nguvu ukienda kasi, ukaijaza nyumba yote wakawa wameketi……….wote wakajazwa roho mtakatifu.” Mdo. 2:2-4
2)Baada ya kujazwa Roho mtakatifu mitume walisema jinsi gani? “wakaanza kusemakwa lugha nyingine, kama roho alivyowajalia kutamka” Fungu la 4
3)Karamaza Roho zimetolewa kwa kusudi gani? “kwa kusudi la kuwakamilisha watakatifu, hata kazi ya huduma itendeke, hata mwili wa Kristo ujengwe.” Efe. 4:12
4)Karama ya lugha imekusudiwa kwa ajili ya nani? “Basi, hizi lugha ni ishara, si kwao waaminio, bali kwao wasioamini.” 1 Kor 14:22
5)Wanafunzi wengine walipokuwa wanaleta machafuko kanisani kwa kujifanya kunena kwa lugha ngeni Paulo alitoa mafundisho gani? “Ila sasa, ndugu, nikija kwenu na kunena kwa lugha, nitawafaidia nini?” 1 Kor. 14: 6
“VIvyona ninyi, msipotoa kwa ulimi neno lililo dhahiri, neno lile linenwalo litajulikanaje?” Maana mtakuwa mkinena hewani tu.” Fungu la 9.
“Lakini katika kanisa napenda kunena mameno matano kwa akili zangu, nipate kuwafundisha wengine, napenda kunena maneno matano kwa akili zangu nipate kuwafundisha engine, zaidi ya kunena maneno kumi elfukwa ligha.” Fungu la 19.
“Haya! Ikiwa kanisa lote limekusanyika pamoja, na wote wanene kwa lugha kasha ikawa wameingia watu wajinga au wasioamini, Je! Hawatasema kwamba mna wazimu?” Fungu la 23.
“Kama mtu akinena kwa lugha, wanene wawili au watatu, si zaidi, tena zamu kwa zamu, na mmoja afasiri” Fungu la 27.
“Lakini asipokuwapo mwenye kufasiri na anyamaze katika kanisa, aseme na nafsi yake tena na MUNGU.” Fungu la 28.
6)Kwa nini Paulo alitoa mafundisho hayo ya uangalifu juu ya jambo la kunena kwa lugha? Kwa sababu kanisa si mahali Pa kufanya makelele ama machafuko. “Kwa maana MUNGU si MUNGU wa machafuko, bali wa amani, vile vile kama ilivyo katika makanisa yote ya watakatifu.” Fungu la 33
7)Paulo asema ya kwamaba mwisho wa maneno haya ni nini? “kwa ajili ya hayo, ndugu, takeni sana kuhutubu, wala msizuie kunena kwa lugha. Lakini mambo yote na yatendeke kwa uzuri na kwa utaratibu.” Mafungu 39,40 8)Karama za Roho zimagawanywa jinsi gani? “Lakini kazi hizi huzitenda Roho huyo mmoja, yeye Yule, akimgawia kila mtu peke yake kama apendavyo yeye.” 1 Kor. 12:11.
9)Karama ya lugha itatolewa kwa kila aaminiye? “Je! Wote ni mitume? Wote ni manabii? Wote ni waalimu? Wote wanatenda miujiza? Wotw wana karama za kuponya wagonjwa? Wote wanena kwa lugha?” Mafungu 29,30.
10)Katika yote tufanyayo kusudi letu lingekuwa nini? “Basi, mlapo, au mnywapo, au mtendapo neno lolote, fanyeni yote kwa utukufu wa MUNGU.” 1 Kor. 10:31
TAFAKARI: Makelele au machafuko hayawezi kumtukuza MUNGU. Twaweza kutazamia ya kwamba Shetani atatafuta alete machafuko katika kanisa la MUNGU kwa kuzifananisha karama za Roho. Iliyoonekana zaidi ya nyingine za karama hizo za Uongo ni ile karama ya kunena kwa lugha. Twapaswa kuyasoma maandiko na kuyatafakari kwa kina. Nawatakia jumapili njema na Mungu awabariki, pia nakushauri tembelea Blogu hii kila jumapili ili tujifunze walau kitu kimoja tu katika maandiko baada ya kazi ngumu ya wiki nzima ya mahangaiko ya kutafuta mkate wa kila siku
Sponsered By Jacob Mwaipopo
www.pox10.blogspot.com

REGARDLESS HOW YOUNG I AM

on Aug 2, 2012

Spirit of laziness, false illness, stealing money from mum & Dad & stealing meat from the pot.
I command you to come out now.
In Jesus name!

HOW STRONG ARE YOU IN BELIEVING GOD


A man with AK 47 ran 2 a church and pointed a gun at the congregation and demanding:
"Who is a child of God here, let me send him to heaven?
The congregation remained silent and bandit fires one bullet in the roof.
Congregation shouts "Its pastor Popox! he alwayz says he is a child of God"
Pastor Popox Charles then responds "What kind of conspiracy is this?
Everyone here knows that i am a son of Mzee Charles and grandson of Mwaipopo!
Teh! Teh!
What if it were you in the church? Would you be ready to go to heaven?
THAT IS OUR EXTENT OF BELIEF TO GOD.

HE IS THE LORD OF MIRACLE

The Bible says, we were fearfully and wonderfully made, by God. His hands made us and fashioned us (PSALM 139:14; 119:73). God is the manufacturer of men. Now, let us reason together! If men, who are manufacturer of cars, computers, and what have you; are wise enough to provide spares parts for the products they make, what about God who is far wiser than men; didn't He make provision for human spare parts? If He can provide new fingernails or toenails, and new hair; after cutting them, can He fail to provide spare parts for the other members of the body? Of course, our God is more than able.

He can never fail.
Just believe!

As we pray together NOW, God is going to replace the worn-out member of your body, with a new one.
Let us pray!
LORD, I pray that you replace this worn-out member of the body, with a new one; in Jesus Name! Shout a loud "AMEN!"HALELLUJAH!

WHAT GOD TELLS YOU IN THIS BLESSED DAY?

on Jul 30, 2012

Today's Word of the Day, comes from JOHN 15:7, which reads as follows, "If you abide in Me, and My words abide in you, you will ask what you desire, and it shall be done for you." These are the words of Jesus Christ, Himself. He teaches us here, the Master Key to Answered Prayer. There are some people, who harbor sin in their lives, yet they go here and there, trying to get connected to so and so, who will pray for them. Surprisingly, despite the fact that they have been prayed for, by so many Apostles, Prophets, and what have you; they are yet to have their answers to prayer.

My beloved, it is not enough to be prayed for by some Apostle, Prophet, and what have you. Jesus admonishes us here that, if we want our prayers answered, we have to abide in Him, that is, we have to repent our sins, and sin no more; and make sure His words abide in us. That is, after being saved we ought to find a bible based church home, where we can be grounded in the Word. This is the Master Key to Answered Prayer. Now, the key question is, can we really live a holy life, here on earth? The answer is YES, in capital letters! How ? For further details of how you can have power to overcome sin in your life.
Please take some time to read another page in this blog,"THE GREATEST MIRACLE IS UPON YOU AND YOUR FAMILY" Wishing you the best, that Jesus has to offer!

BACK IN THE BUSINESS AFTER A LONG SILENCE.

on Jun 13, 2012

ALL ABOUT WHOOPI GOLDBERG

on May 24, 2012

Date of Birth
13 November 1955, New York City, New York, USA
Birth Name

Caryn Elaine Johnson
Nickname
Da Whoop
Height 5' 5" (1.65 m)

Whoopi Goldberg first came to prominence with her starring role in The Color Purple (1985). She received much critical acclaim, and an Oscar nomination for her role and became a major star as a result. Subsequent efforts in the late 1980s were, at best, marginal hits. These movies mostly were off-beat to formulaic comedies like Burglar (1987), The Telephone (1988), and Jumpin' Jack Flash (1986). Goldberg made her mark as a household name and a mainstay in Hollywood for her Oscar-winning role in the box office smash Ghost (1990). Whoopi Goldberg was at her most famous in the early 1990s, making regular appearances on "Star Trek: The Next Generation" (1987). She admitted to being a huge fan of the original "Star Trek" (1966) and jumped at the opportunity to star in "Next Generation".

Goldberg received another smash hit role in Sister Act (1992). Her fish-out-of-water with some flash seemed to resonate with audiences and was a box office smash. Whoopi starred in some highly publicized and moderately successful comedies of this time, including Made in America (1993) and Soapdish (1991). Goldberg followed up to her success with Sister Act 2: Back in the Habit (1993), which was well-received but didn't seem to match up to the first.

As the late 1990s approached, Goldberg seemed to alternate between lead roles in straight comedies such as Eddie (1996) and The Associate (1996), and took supporting parts in more independent minded movies such as The Deep End of the Ocean (1999) and How Stella Got Her Groove Back (1998). Goldberg never forgot where she came from, hosting many tributes to other legendary entertainment figures. Her most recent movies include Rat Race (2001) and the quietly received Kingdom Come (2001). Goldberg contributes her voice to many cartoons, including The Pagemaster (1994) and "Captain Planet and the Planeteers" (1990), as Gaia, the voice of the earth. Alternating between big-budget movies, independent movies, tributes, documentaries, and even TV movies (including Theodore Rex (1995)).

Whoopi Goldberg is accredited as a truly unique and visible talent in Hollywood. Perhaps she will always be remembered as well for Comic Relief, playing an integral part in almost every benefit concert they had. Currently Whoopi Goldberg is the center square in "Hollywood Squares" (1998) and frequently hosts the Academy Awards.
She also is an author, with the book "Book."T